About Us

ABOUT TAPA-HR

TAPA-HR ni Jumuiya ya Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala katika Utumishi wa Umma ambayo imeanzishwa chini ya Sheria ya Msajili wa Vyama Sura 337 iliyofanyiwa mapitio mwaka 2002 na kupewa namba ya usajili S.A 23452.

  • Dira–  Kuhakikisha Ufanisi na uweledi kwa Maafisa Rasilimaliwatu na Utawala katika Utumishi wa Umma ili kuleta tija iliyokusudiwa kwa maendeleo ya kiuchumi na kijamii.
  • Dhima– Kukuza viwango na mifumo bora ya taaluma ya Usimamizi wa Rasilimaliwatu na Utawala katika Utumishi wa Umma.

Malengo ya Jumuiya

TAPA-HR MANAGEMENT

Scroll to Top